Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 23:23-24

Yeremia 23:23-24 BHN

“Mimi ni Mungu aliye karibu, si Mungu aliye mbali. Je, mtu aweza kujificha mahali pa siri hata nisiweze kumwona? Hamjui kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nipo kila mahali, mbinguni na duniani? Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Soma Yeremia 23

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha