Zaburi 30:8-9
Zaburi 30:8-9 SRUV
Ee BWANA, nilikulilia Wewe, Naam, kwa BWANA niliomba dua. Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?
Ee BWANA, nilikulilia Wewe, Naam, kwa BWANA niliomba dua. Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?