Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 30:8-9

Zaburi 30:8-9 SRUV

Ee BWANA, nilikulilia Wewe, Naam, kwa BWANA niliomba dua. Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?

Soma Zaburi 30

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 30:8-9

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha