Zaburi 30:10-11
Zaburi 30:10-11 SRUV
Ee BWANA, usikie, unirehemu, BWANA, uwe msaidizi wangu. Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma; Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.
Ee BWANA, usikie, unirehemu, BWANA, uwe msaidizi wangu. Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma; Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.