Zaburi 29:10-11
Zaburi 29:10-11 SRUV
BWANA aketi juu ya Gharika; Naam, BWANA ameshika hatamu ya ufalme milele. BWANA na awape watu wake nguvu; BWANA na awabariki watu wake kwa amani.
BWANA aketi juu ya Gharika; Naam, BWANA ameshika hatamu ya ufalme milele. BWANA na awape watu wake nguvu; BWANA na awabariki watu wake kwa amani.