Likumbuke neno ulilomwambia mtumishi wako, Ambalo kwalo umenipa tumaini. Hii ndiyo faraja yangu katika taabu yangu, Ya kwamba ahadi yako imenipa moyo. Wenye kiburi wamenidharau mno, Lakini sikiuki sheria zako.
Soma Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:49-51
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video