Mambo ya Walawi 7:28-29
Mambo ya Walawi 7:28-29 SRUV
BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Nena na wana wa Israeli uwaambie, Yeye asongezaye dhabihu yake ya sadaka za amani kwa BWANA, atamletea BWANA matoleo yake, kutoka katika ile dhabihu ya sadaka zake za amani