Msile kitu chochote pamoja na damu yake; wala msifanye kuloga, wala kutumia utambuzi. Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu. Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Soma Mambo ya Walawi 19
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Mambo ya Walawi 19:26-28
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video