Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 42:11-12

Yeremia 42:11-12 SRUV

Msimwogope mfalme wa Babeli, mnayemwogopa; msimwogope, asema BWANA; maana mimi ni pamoja nanyi, niwaokoe, na kuwaponya kutoka kwa mkono wake. Nami nitawapa rehema, kwamba awarehemu ninyi, na kuwarudisha mkae katika nchi yenu wenyewe.

Soma Yeremia 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yeremia 42:11-12

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha