Zaburi 30:10-11
Zaburi 30:10-11 NEN
Ee BWANA, unisikie na kunihurumia, Ee BWANA, uwe msaada wangu.” Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza, ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe
Ee BWANA, unisikie na kunihurumia, Ee BWANA, uwe msaada wangu.” Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza, ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe