Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu. Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia, lakini sijaacha mausia yako. Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria za kinywa chako.
Soma Zaburi 119
Sikiliza Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:86-88
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video