Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 23:1-3

Yoshua 23:1-3 NEN

Baada ya muda mrefu kupita, naye BWANA akawa amewapa Israeli pumziko mbele ya adui zao wote waliowazunguka, Yoshua, wakati huo akiwa mzee na umri ukiwa umeendelea sana, akawaita Israeli wote, wazee wao, viongozi, waamuzi na maafisa Yoshua akawaambia: “Mimi ni mzee na umri wangu umeendelea sana. Ninyi wenyewe mmeona kila kitu BWANA Mungu wenu, alichowatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu. Ilikuwa ni BWANA Mungu wenu aliyewapigania.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha