Ndipo mbingu na dunia na vyote vilivyomo ndani yake vitapiga kelele za shangwe juu ya Babeli, kwa kuwa kutoka kaskazini waharabu watamshambulia,” asema BWANA. “Babeli ni lazima aanguke kwa sababu ya kuwaua Waisraeli, kama vile waliouawa duniani kote walivyoanguka kwa sababu ya Babeli. Wewe uliyepona upanga, ondoka wala usikawie! Mkumbuke BWANA ukiwa katika nchi ya mbali, na utafakari juu ya Yerusalemu.”
Soma Yeremia 51
Sikiliza Yeremia 51
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Yeremia 51:48-50
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video