“Ikiwa utataka kurudi, ee Israeli, nirudie mimi,” asema BWANA. “Ikiwa utaondoa sanamu zako za kuchukiza mbele ya macho yangu na usiendelee kutangatanga, ikiwa kwa kweli, kwa haki na kwa unyofu utaapa, ‘Kwa hakika kama vile BWANA aishivyo,’ ndipo mataifa yatakapobarikiwa naye na katika yeye watajitukuza.”
Soma Yeremia 4
Sikiliza Yeremia 4
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Yeremia 4:1-2
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video