“Je, mimi ni Mungu aliyeko hapa karibu tu,” BWANA asema, “wala si Mungu aliyeko pia mbali? Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri ili nisiweze kumwona?” BWANA asema. “Je, mimi sikuijaza mbingu na nchi?” BWANA asema.
Soma Yeremia 23
Sikiliza Yeremia 23
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Yeremia 23:23-24
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video