Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 23:1-2

Yeremia 23:1-2 NEN

“Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema BWANA. Kwa hiyo hili ndilo BWANA, Mungu wa Israeli, analowaambia wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Kwa sababu mmelitawanya kundi langu na kuwafukuzia mbali, wala hamkuwatunza, basi mimi nitawaadhibu kwa ajili ya uovu mliofanya,” asema BWANA.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha