Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waamuzi 2:13-14

Waamuzi 2:13-14 NEN

kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi. Hivyo hasira ya BWANA ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha