2 Wathesalonike 1:1-2
2 Wathesalonike 1:1-2 NEN
Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.