1
Mathayo 22:37-39
Biblia Habari Njema
Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote’. Hii ndiyo amri kuu na ya kwanza. Ya pili inafanana na hiyo: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.
Compare
Explore Mathayo 22:37-39
2
Mathayo 22:40
Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”
Explore Mathayo 22:40
3
Mathayo 22:14
Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”
Explore Mathayo 22:14
4
Mathayo 22:30
Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.
Explore Mathayo 22:30
5
Mathayo 22:19-21
Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha. Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?” Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Explore Mathayo 22:19-21
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos